Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 1,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Ukubwa

450 SQM

Maelezo

🏑✨ NYUMBA YA KUMALIZIA INAUZWA – KINYEREZI MBUYUNI ✨🏑

Fursa nzuri kwa mwekezaji au familia inayotafuta nyumba kwenye eneo lenye thamani kubwa πŸ“
Nyumba hii ipo Kinyerezi Mbuyuni, umbali wa dakika 1 tu kutoka kituoni, unatembea hadi site bila usumbufu. Barabara ni rafiki kwa gari na inafikika kwa urahisi muda wote πŸš—

🏠 Muundo wa nyumba:
βœ… Vyumba 3
βœ… Chumba 1 Master
βœ… Sebule kubwa
βœ… Dining
βœ… Jiko
βœ… Choo cha public

πŸ“ Ukubwa wa eneo: Square mita 450

πŸ’Ό Inafaa kwa:
βœ”οΈ Makazi binafsi
βœ”οΈ Kumalizia na kuishi mwenyewe
βœ”οΈ Uwekezaji wa kupangisha

πŸ’° Eneo hili lina uwezo wa kukupatia kodi kuanzia Tsh 1,000,000+ kwa mwezi, hivyo ni investment yenye faida kubwa.

✨ Unachohitaji ni finishing tu, kisha unaanza kuishi au kupata mapato ya kodi.

πŸ’΅ Bei: Tsh 65,000,000/= maongezi yapo kwa mteja wa kweli

πŸ“ž Mawasiliano: +255688412890
Karibu tufanye biashara.