Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
450 SQM
Maelezo
π‘β¨ NYUMBA YA KUMALIZIA INAUZWA β KINYEREZI MBUYUNI β¨π‘
Fursa nzuri kwa mwekezaji au familia inayotafuta nyumba kwenye eneo lenye thamani kubwa π
Nyumba hii ipo Kinyerezi Mbuyuni, umbali wa dakika 1 tu kutoka kituoni, unatembea hadi site bila usumbufu. Barabara ni rafiki kwa gari na inafikika kwa urahisi muda wote π
π Muundo wa nyumba:
β
Vyumba 3
β
Chumba 1 Master
β
Sebule kubwa
β
Dining
β
Jiko
β
Choo cha public
π Ukubwa wa eneo: Square mita 450
πΌ Inafaa kwa:
βοΈ Makazi binafsi
βοΈ Kumalizia na kuishi mwenyewe
βοΈ Uwekezaji wa kupangisha
π° Eneo hili lina uwezo wa kukupatia kodi kuanzia Tsh 1,000,000+ kwa mwezi, hivyo ni investment yenye faida kubwa.
β¨ Unachohitaji ni finishing tu, kisha unaanza kuishi au kupata mapato ya kodi.
π΅ Bei: Tsh 65,000,000/= maongezi yapo kwa mteja wa kweli
π Mawasiliano: +255688412890
Karibu tufanye biashara.
