Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Kibaga B, Dar Es Salaam (500 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
3
Ukubwa
500 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก NYUMBA INAUZWA โ KINYEREZI KIBAGA B
๐ฐ BEI: MILIONI 85 (MAONGEZI YAPO)
๐ผ Service Charge: 20,000
๐ Ukubwa wa eneo: Sqm 500
โจ Sifa za Nyumba:
๐๏ธ Vyumba 3 vya kulala
๐ Master 1
๐๏ธ Sebule kubwa
๐ฝ๏ธ Jiko
๐ฝ Choo cha public
๐ป Choo cha nje
๐ง Maji yanapatikana
๐ Parking (Paving Block)
๐ณ Garden nzuri
Nyumba ipo kwenye mazingira mazuri na tulivu, inafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji wa kupangisha.
๐ Piga: 0688 412 890
Tufanye biashara leo ๐ค
#KinyereziKibagaB #NyumbaInauzwa #RealEstateDar #DalaliWakoWakishua




















