Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Shule, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 180,000,000

Maelezo

๐Ÿก NYUMBA INAUZWA โ€“ KINYEREZI SHULE, DAR ES SALAAM ๐Ÿก

๐Ÿ’ฐ Bei: Milioni 180 Tu (Mazungumzo Kidogo kwa Mteja Serious)

Nyumba nzuri na ya kisasa inapatikana Kinyerezi Shule katika eneo zuri na linalokua kwa kasi.

โœ… Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master)
โœ… Sebule kubwa
โœ… Jiko la kisasa
โœ… Boyโ€™s Quarter yenye chumba na sebule
โœ… Ndani ya Fence
โœ… Parking ya kutosha
โœ… Maji na Umeme vipo
โœ… Barabara nzuri, gari linafika hadi nyumbani
โœ… Hakuna changamoto yoyote ya mazingira

Nyumba hii inafaa kwa:
๐Ÿ  Makazi ya familia
๐Ÿข Biashara au uwekezaji wa kupangisha

Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba katika eneo lenye thamani inayoongezeka kila siku.

๐Ÿ“ž Muhitaji piga: +255688412890
๐Ÿ’ต Service Charge / Gharama ya Huduma: 30,000/=

โœจ Wahi Sasa Offer Kabambe!
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!

Matangazo mengine Kinyerezi, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kinyerezi Mwisho, Dar Es Salaam (2000 sqm)

Sh. 450,000,000

For Sale4 beds2 baths2,000 sqmhouse