Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Songas, Dar Es Salaam (350 sqm)

Kinyerezi, Ilala, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 90,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
350 SQM
Barabara ya Karibu
2min
Huduma na Sifa
Maji
Parking Space
Umeme
Karibu na Barabara ya Lami
Maelezo
π‘β¨ NYUMBA INAUZWA β KINYEREZI SONGAS β¨π‘
Fursa nzuri ya kupata nyumba katika eneo zuri na lenye maendeleo kwa bei nafuu.
π° Bei: Milioni 90
π Ukubwa: SQM 350
πΉ Sifa za nyumba:
ποΈ Vyumba 3 vya kulala
π Chumba 1 master
ποΈ Sebule kubwa na yenye nafasi ya kutosha
π§ Maji yanapatikana
β‘ Umeme upo tayari
π Parking ya kutosha
π Ipo dakika 2 tu kutoka barabara ya lami, hivyo inafikika kirahisi wakati wote.
π Wasiliana: +255 688 412 890
πΌ Service charge: 30,000/=
Karibu sana mteja wa maana, nyumba nzuri kwa makazi binafsi au uwekezaji.
