Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Songas, Dar Es Salaam (400 sqm)

 media -1
media -1
Sh. 60,000,000

Maelezo

šŸ” NYUMBA INAUZWA KINYEREZI SONGAS – LOCATION NZURI SANA! šŸ”„

Fursa adimu ya kumiliki nyumba iliyopo Kinyerezi Songas, ikiwa ni nyumba ya pili kutoka barabara ya lami. Eneo linafikika kwa urahisi na lina mazingira mazuri ya kuishi pamoja na uwekezaji.

āœ… Ina:

* Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master)
* Sebule kubwa
* Jiko
* Choo cha Public
* Umeme na maji vinapatikana
* Parking ya kutosha

šŸ“ Ukubwa wa eneo: Sqm 400

🌟 Inafaa kwa:

* Makazi ya familia
* Uwekezaji wa nyumba za kupangisha
* Apartments
* Lodge au biashara nyingine kutokana na location yake nzuri karibu na barabara kuu

šŸ’° Bei: Milioni 60 Tu (BEI NI FIXED)

šŸ”„ Wahi Sasa, Offer Kabambe!

Miliki Kesho Yako Leo!!!

šŸ“ž Muhitaji piga

Calls/whatsapp: au

Service Charge / Gharama ya Huduma: 50,000/=

šŸ  Karibu Tajiri

Dalali tabata kinyerezi tz

dalali_tabata_kinyerezi_tz

@dalali_tabata_kinyerezi_tz

View Listings

Matangazo mengine Kinyerezi, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kinyerezi, Dar Es Salaam

Sh. 65,000,000

For Sale4 beds1 bathhouse
Dalali tabata kinyerezi tz