Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Zabikah, Dar Es Salaam (500 sqm)


Maelezo
š” NYUMBA YA KUMALIZIA INAUZWA ā KINYEREZI ZABIKAH š”
š Location: Kinyerezi Zabikah
ā
Eneo: SQM 500
ā
Vyumba 3 (kimoja Master)
ā
Sebule kubwa
ā
Dining
ā
Jiko
ā
Nafasi kubwa ya Parking
ā
Eneo la Garden
Nyumba ipo kwenye mtaa mzuri na salama. Hii ni nafasi nzuri kwa anayehitaji makazi ya familia au mwekezaji mwenye maono.
š” Kwa mwekezaji: Malizia ujenzi, ipangishe na pia tumia nafasi iliyobaki kujenga master za kupangisha ili kuongeza kipato chako kila mwezi.
š° Bei: TSh Milioni 38 Tu
š Piga simu:
šµ Service Charge: TSh 30,000/=
Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba kwa bei nafuu. Wahi sasa!















