Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi Zabikah, Dar Es Salaam (500 sqm)

 media -1
media -1
Sh. 38,000,000

Huduma na Sifa

Bustani
Jiko
Sebule kubwa
Dining
Nafasi kubwa ya parking

Maelezo

šŸ” NYUMBA YA KUMALIZIA INAUZWA – KINYEREZI ZABIKAH šŸ”

šŸ“ Location: Kinyerezi Zabikah

āœ… Eneo: SQM 500
āœ… Vyumba 3 (kimoja Master)
āœ… Sebule kubwa
āœ… Dining
āœ… Jiko
āœ… Nafasi kubwa ya Parking
āœ… Eneo la Garden

Nyumba ipo kwenye mtaa mzuri na salama. Hii ni nafasi nzuri kwa anayehitaji makazi ya familia au mwekezaji mwenye maono.

šŸ’” Kwa mwekezaji: Malizia ujenzi, ipangishe na pia tumia nafasi iliyobaki kujenga master za kupangisha ili kuongeza kipato chako kila mwezi.

šŸ’° Bei: TSh Milioni 38 Tu

šŸ“ž Piga simu:
šŸ’µ Service Charge: TSh 30,000/=

Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba kwa bei nafuu. Wahi sasa!

Dalali Tabata

dalaliwakishua

@dalaliwakishua

View Listings

Matangazo mengine Kinyerezi, Dar Es Salaam

Dalali Tabata