Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kisarawe II, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
š” NYUMBA KUBWA INAUZWA KWA BEI YA KUTUPA ā KIGAMBONI KISARAWE II, DAR ES SALAAM š„
Unatafuta nyumba kubwa, ya kisasa na yenye eneo zuri? Hii ndiyo fursa yako!
ā
Bei: TSh 85,000,000 tu (Mazungumzo yapo)
ā
Ipo Kigamboni, Kisarawe II
ā
Mtaa mzuri, salama na wenye maendeleo
Sifa za nyumba:
š Vyumba 3 vya kulala
šļø Sebule kubwa
š½ļø Dining
š³ Jiko lenye pantry na rafu
šæ Choo na bafu vya kisasa
š Parking kubwa yenye nafasi ya magari kadhaa
š³ Eneo la kutosha kwa shughuli mbalimbali
š§± Fence tayari imejengwa
⨠Madirisha ya aluminium
šØ Imebaki kazi chache sana za ukamilishaji
Nyumba imejengwa kwa viwango vizuri na ni chaguo bora kwa makazi ya familia au uwekezaji wa muda mrefu.
š Wasiliana nasi leo kupanga kutembelea nyumba hii kabla haijauzwa!
Service Charge: TSh 30,000
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni



