Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kishua, Kigamboni, Dar Es Salaam (600 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
3
Ukubwa
600 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI, KISARAWE II Nyumba nzuri na ya kisasa inauzwa ipo eneo tulivu la Kishua, Kigamboni. 🔹 Maelezo ya Nyumba: * Vyumba 3 (2 Master) * Sebule kubwa na sehemu ya dining * Jiko la kisasa 🔹 Ukubwa wa Eneo: * SQM 600 🔹 Hati: * Hati halali ya Wizara 🔹 Sifa Muhimu: * Kisima cha maji matamu * Full AC (vyumba vyote vina viyoyozi) * Maegesho yenye paving nzuri * CCTV Camera (ulinzi wa uhakika) * Garden nzuri na ya kuvutia * Ipo kwenye mtaa wa kishua (location nzuri na tulivu) 💰 Bei: Milioni 130 (Mazungumzo yapo) 📞0769554221 #trendingvideos #istagram #tanzania🇹🇿 #realestateforsale #trendingnow















