Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kisota, Dar Es Salaam (800 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
800 SQM
Barabara ya Karibu
200m
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 GHOROFA LA KISASA LINAUZWA – KIGAMBONI, KISOTA (TAASARANGA)
Unatafuta nyumba ya kisasa katika eneo zuri la Kigamboni? Hii ndiyo fursa yako!
Sifa za nyumba:
✅ Vyumba 3 vya kulala (vyote Master)
✅ Sebule kubwa na ya kisasa
✅ Dining room
✅ Jiko la kisasa
✅ Eneo la kiwanja: SQM 800
✅ Kiwanja kimepimwa na kina hati iliyoidhinishwa (Approved Survey)
Mahali:
📍 Kisota – Mtaa wa Saranga, Kigamboni
📏 Mita 200 kutoka barabara ya lami
📍 Kilomita 5 kutoka Feri
📍 Kilomita 4 kutoka Daraja la Nyerere
Bei:
💰 TSh Milioni 270 (Mazungumzo yapo.)
.
📞 Wasiliana nasi: 0769 552 821
📍Visit Site 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















