Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 50,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Maelezo

NYUMBA NZURI YAKUHAMIA, ROOM 3,TSHS.89 MILIINI, KIVULE-FREMU KUMI.

Hii nyumba Ina HATI (Title Deed) ya Wizara.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 673.

Nyumba ya kisaaa yenye nafasi na iliyojengwa imara.
Vyumba 3(Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani

________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

________________mskv