Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Madale, Dar Es Salaam (400 sqm)
Madale, Dar Es Salaam
1 hour ago
Sh. 185,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
200m
Huduma na Sifa
Maelezo
Nyumba inauzwa, price tsh mil 185, vyumba V3 kimojawapo master, sebule,dining,jiko na public toilet ya ndani na moja ya nje.
*location* Ipo madale shule mita 200 toka lami.
*ukubwa wa kiwanja* SQM 400 nyumba ina *HATI MILIKI*
Iko ndani ya fence ina CCTV camera na electric fence. Ina maji ya dawasa na reserve tank za jumla ya lita 7000.
dalalimma mbez bech
dalaliimma mbez bech















