Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Madale, Dar Es Salaam (600 sqm)
Maelezo
HABARI! KARIBU SANA. (Ujumbe wa Kiotomatiki)
Asante kwa kuwasiliana nasi. Tunayo NYUMBA NZURI INAUZWA iliyopo MADALE! MWANZONI DAKIKA 4 TUU
KUTOKA BARABARA YA RAMI KUBWA DAKIKA 4 JIRANI
š MAELEZO YA NYUMBA:
⢠Mahali: Madale (Jirani kabisa na TRA Mpya ya Madale)
⢠Vyumba: 3 vya kulala (Vyumba 2 ni Master Bedrooms)
⢠Sebule nzuri na Jiko kubwa lenye Choo ndani
⢠Ukubwa wa Kiwanja: Sqm 600
⢠BEI: TSH 350,000,000/=
Pia unakaribishwa kuwasiliana nasi kwa huduma na kazi zingine zaidi. Acha ujumbe wako hapa au tupigie simu, tutakujibu mara moja!
Karibuni sanaa sanaa















