Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Madale Flamingo, Dar Es Salaam (500 sqm)









Huduma na Sifa
Maelezo
Nyumba Mpya Kali Sana Inauzwa
Mahali: Madale Flamingo
Bei: Milioni 380
☑️Eneo: Sqm500
☑️Umiliki: Hati Ya Wizara✅
☑️Sifa: Nyumba Kubwa Vyumba 3, Vieili Ni Master Sebule, Dining, Jiko & Choo.
☑️Ina Sifa Zote Za Nyumba Ya Kisasa
☑️Ni Nyumba Ya Kuhamia
☑️Njoo Uishi Kwenye Nyumba Ya Ndoto
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 50,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate.
Ofisini: Sinza Palestina (Kwa Babu Sea)
Call & Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988
Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏
#MasterRealEstate #MasterMijengo #DalaliMasterTz WhereLuxuryMeetsLifestyle















