Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Makongo, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YA VYUMBA 3 YENYE HATI,TSHS.115 MILIONI,MAKONGO.
Ni nzuri.
Mtaa tulivu.
Kiwanja SQM.300.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Mtaa tulivu.
Parking ina Paving na nyumba Ina Kisima.
_________________
ANGALIZO:
Kuona ni Tshs.50,000.
Malipo (DALAKI) ukiinunua wewe ni 10%
Tuwasiliane iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255 714 591 548
_____________ryt















