Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamaz, Dar Es Salaam (450 sqm)

video thumbnail
Sh. 80,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Ukubwa

450 SQM

Barabara ya Karibu

100m

Huduma na Sifa

Maji
Uzio
Umeme
Sittingroom
Diningroom
Jiko

Maelezo

Miliioni 80 ipo mbagala chamaz mikumi jiji la dar es salaam wilaya ya temeke kata ya chamaz mtaa wa dovya

Bei milioni 80,000,000/= milioni

0759128747 0624436503

Ina vyumba 3 vya kulala vyumba viwili ni masters bedroom sittingroom diningroom jiko store publick toilet ina maji umeme fence nk

Eneo sqmt 450 umbali kutoka main road mita 100

Wote mnakaribishwa