Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi Mikumi, Dar Es Salaam
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA – TSH MILIONI 76 TU!
📍 Eneo: Mbagala Chamazi Mikumi
🚗 Ipo jirani kabisa na barabara kuu ya lami – ni sekunde 15 tu kutoka barabara ya lami.
Sifa za nyumba:
✅ Vyumba 3 vya kulala (kimoja ni Master Bedroom)
✅ Sitting Room kubwa
✅ Dining Room
✅ Jiko la kisasa
✅ Fence yenye waya wa umeme (Electric Fence)
✅ Maji ya kutosha mwaka mzima
📞 Wahi kabla haijauzwa!
Kwa maelezo zaidi au kupanga kuitembelea, piga simu: 0683 665 504.
Serious buyers tu. Karibu ukague nyumba na ufanye maamuzi sahihi!















