Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi, Saku Ilulu, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 39,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Huduma na Sifa

Public Toilet
Sebule
Jiko
Fremu 2
Chumba 1 cha ziada

Maelezo

🏠 NYUMBA INAUZWA – MBAGALA CHAMAZI SAKU ILULU

Nyumba nzuri inauzwa kwa bei ya TSh Milioni 39 tu (mazungumzo yapo kidogo).

📍 Location: Mbagala Chamazi, Saku Ilulu
👉 Ipo karibu kabisa na Shule ya Secondary Saku

Sifa za nyumba:

Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master)

Sebule (Sitting room)

Jiko

Public toilet

Uwanjani kuna chumba 1 cha ziada

Pia kuna fremu 2

✅ Eneo zuri na tulivu kwa makazi
✅ Nyumba ya kisasa na inafaa kuishi mara moja

📞 Njoo site ukague mwenyewe – hii si ya kukosa!
Kwa maelekezo zaidi piga simu: 0683 665504