Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Beach Makonde, Dar Es Salaam

Maelezo
๐ก NYUMBA INAUZWA โ MBEZI BEACH (MAKONDE JUU) Inauzwa nyumba nzuri ipo Mbezi Beach Makonde, upande wa juu. ๐ฐ Bei: TZS Milioni 135 (maongezi yapo) ๐น Sifa za nyumba kubwa: Vyumba 3 vya kulala Sebule Jiko Dining ๐น Nyumba ya pembeni (inapangishwa): Chumba, sebule na jiko ๐ Nyumba zote tayari zina wapangaji: Kodi ya nyumba kubwa: TZS 600,000 Kodi ya nyumba ndogo: TZS 250,000 ๐ Gari yoyote inafika hadi nyumbani ๐ Wasiliana: 0692 181 138















