Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 170,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Maelezo

Nyumba Nzuri Ya Kisasa Inauzwa
Mahali: Mbezi Beach Jogoo

Bei: Milioni 170 (Mazungumzo)

Mita 500 Kutoka Lami

☑️Ukubwa: Sqm400
☑️Nyumba Kubwa: Vyumba 3, Viwili Master Sebule, Jiko & Choo
☑️Hati Ipo Kwenye Hatua Za Mwisho
☑️Njoo Uchukue Hii Nyumba Tajiri Angu, Utanishukuru.

Gharama Ya Kuoneshwa Ni 50,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate.

Ofisini: Sinza Palestina (Kwa Babu Sea)

Call & Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988, 0622651649, 0650659988

Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏

#MasterRealEstate #MasterMijengo #DalaliMasterTz #WhereLuxuryMeetsLifestyle