Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa MBEZI KIBANDA CHA MKAA, Dar Es Salaam (2000 sqm)

video thumbnail
Sh. 160,000,000

Aina

Nyumba

House for sale in Mbezi

Vyumba

3

3 bedroom House for sale in Mbezi

Ukubwa

2000 SQM

Barabara ya Karibu

500m — Barabara ya Morogoro

Huduma na Sifa

Dining
Jiko
Stoo
Sebule
Feni
Mkata wa mauziano

Maelezo

NYUMBA TATU ZA KUMALIZIA,TSHS.160 MILIINI,MBEZI KIBANDA CHA MKAA.

Ni umbali wa wastani wa mita 500 tu kutoka
Barabara ya Morogoro.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM.2,000.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

Kila nyumba inajitegemea na ina jumla ya vyumba 3.
Masta ni moja. Pia na Sebule, Jiko,
Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.

Ineo la kuweza kujenga zaidi lipo.

________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_________________mpg

Matangazo yanayofanana Mbezi, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

Sh. 140,000,000

  • Dining

  • Jiko

  • Public Toilet

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Beach Jogoo, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 140,000,000

  • Paving Blocks

  • Sliding Windows

  • Public Toilet

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Beach Jogoo, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 140,000,000

  • Paving Blocks

  • Parking Space

  • Sliding Windows