Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Kwa Msuguri, Dar Es Salaam (280 sqm)

Mbezi, Ubungo, Dar Es Salaam
4 hours ago
Sh. 27,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
280 SQM
Huduma na Sifa
Karibu na Barabara
Maelezo
NYUMBA INAUZWA MBEZI KWA MSUGURI
Vyumba 3 vya kulala sebule na public toilet
Inafaa sana kwa kuanzia maisha
Gari inafika kwenye nyumba
Bei: Mil. 27 Maongezi kidogo yapo
Eneo sqm 280
Kupelekwa kuona nyumba 25,000/=
0684561351
