Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Kwa Msuguri, Dar Es Salaam (500 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
500 SQM
Barabara ya Karibu
2km
Huduma na Sifa
Maelezo
Nyumba Mpya Inauzwa
Mahali: Mbezi Kwa Msuguri
Bei: Milioni 130 (Mazungumzo)
☑️Ukubwa: Sqm500
☑️Sifa: Vyumba 3, Kimoja Master Sebule Kubwa Dining, Jiko & Choo
☑️Umiliki: Documents Za Mauziano
☑️Umbali: Km2 Lami Mpaka Kwenye Nyumba
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 50,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate.
0746 433 854















