Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Kwa-Msuguri, Dar Es Salaam (500 sqm)

Sh. 135,000,000

Maelezo

NYUMBA MPYA, VYUMBA 3,TZS.135 MILIONI,
MBEZI KWA-MSUGURI.

Unaweza kingilia MALAMBAMAWILI PIA.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM.500.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

Ni nyumba ya kisasa.
Vyumba vya kulala 3 (Masta 1)
Pia ina Sebule,Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.

Parking yakutosha yenye Paving,
Na pia jna Tanks za Maji ya akiba.

WAHI.

_________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

.

_________________alMx

Matangazo mengine Mbezi, Dar Es Salaam

Nyumba inauzwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 200,000,000

For Sale400 sqmhouse
Nyumba inauzwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 220,000,000

For Sale400 sqmhouse
Nyumba inauzwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam (837 sqm)

Sh. 600,000,000

For Sale837 sqmhouse
General BROKER (*DALALI*)