Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Msakuzi, Dar Es Salaam (1000 sqm)

video thumbnail
Sh. 160,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

3

Ukubwa

1000 SQM

Barabara ya Karibu

4.1km — Goba Road

Huduma na Sifa

Air Conditioning
Feni
Makabati
Heater
Public Toilet
Jiko

Maelezo

🏡 O719969102

NYUMBA INAUZWA – MBEZI MSAKUZI

💰 Bei: 160,000,000/= MAONGEZI YAPO🙏
Service Charge: 50,000/=

Unatafuta nyumba nzuri yenye eneo kubwa kwa makazi au Kuweka miradi yako ya Mifugo? Hii hapa fursa yako!

📍 Location: Mbezi Msakuzi
📐 Ukubwa wa Kiwanja: SQM 1000
📄 Hati: Document za Serikali ya Mtaa
🛣 Umbali kutoka Barabara ya Goba: KM 4.1
🛌 VYUMBA VI tatu(3) KIMOJA MASTER BEDROOM
🛌MASTER BEDROOM KUNA AC,FENI,MAKABATI,CHOO KIKUBWA+ HEATER

~Seble Kubwa sana ina Ac,feni
~Dinning Room
~Jiko Zuri Lina Makabati
~Stoo
~Public Toilet

🏠 SERVANT QUARTER
~INA CHUMBA KIMOJA
~JIKO
~PUBLIC TOILET

ENEO LA MIFUGO NI KUBWA UNAWEZA ONGEZEA MABANDA KWA NYUMA KUENDELEZA MIRADI YA KUFUGA.

✨ Eneo tulivu, linafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji wa baadaye.
✨ Upatikanaji mzuri wa usafiri na huduma muhimu.

📞 Wasiliana nasi sasa: O719969102