Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Msakuzi, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
1000 SQM
Barabara ya Karibu
4.1km β Goba Road
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA β MBEZI MSAKUZI
π° Bei: 160,000,000/= MAONGEZI YAPOπ
Service Charge: 50,000/=
Unatafuta nyumba nzuri yenye eneo kubwa kwa makazi au Kuweka miradi yako ya Mifugo? Hii hapa fursa yako!
π Location: Mbezi Msakuzi
π Ukubwa wa Kiwanja: SQM 1000
π Hati: Document za Serikali ya Mtaa
π£ Umbali kutoka Barabara ya Goba: KM 4.1
π VYUMBA VI tatu(3) KIMOJA MASTER BEDROOM
πMASTER BEDROOM KUNA AC,FENI,MAKABATI,CHOO KIKUBWA+ HEATER
~Seble Kubwa sana ina Ac,feni
~Dinning Room
~Jiko Zuri Lina Makabati
~Stoo
~Public Toilet
π SERVANT QUARTER
~INA CHUMBA KIMOJA
~JIKO
~PUBLIC TOILET
ENEO LA MIFUGO NI KUBWA UNAWEZA ONGEZEA MABANDA KWA NYUMA KUENDELEZA MIRADI YA KUFUGA.
β¨ Eneo tulivu, linafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji wa baadaye.
β¨ Upatikanaji mzuri wa usafiri na huduma muhimu.
π Wasiliana nasi sasa: 0782 724 115 / O766057880
π€Ofisi Zetu zipo Tegeta /kanisani road
INVEST YOUR FUTURE WITH US
π Usikose nafasi hii! Karibu uone leo.
#NyumbaInauzwa #Mbezi #RealEstateTZ #graspinvestments #villa















