Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi Msakuzi, Dar Es Salaam (400 sqm)

Mbezi, Ubungo, Dar Es Salaam
6 hours ago
Sh. 65,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
350m
Huduma na Sifa
Public Toilet
Maelezo
NYUMBA INAUZWA MBEZI MSAKUZI DAR ES SALAAM 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
BEI: MILLION 65
INA VYUMBA VITATU VYA KULALA IKIWA CHUMBA KIMOJA NI MASTER, SEBLE KUBWA, DINNING ROOM KUBWA, JIKO KUBWA NA STOO NA PUBLIC TOILETS.
ENEO; SQM 400
IPO UMBALI WA MITA 350 KUTOKA BARABARA KUU
DOCUMENTS: SERIKALI YA MTAA
KWA MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU NDUGU MTEJA
0684561351
