Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mikwambe Fancy City, Dar Es Salaam (400 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI, MIKWAMBE FANCY CITY
Fursa nzuri ya kumiliki nyumba katika eneo linalokua kwa kasi la Kigamboni, Mikwambe Fancy City.
Maelezo ya nyumba:
* Ina vyumba 3 vya kulala
* Vyumba 2 ni Master Bedroom
* Sebule kubwa
* Dining
* Jikoni
Nyumba ipo katika hatua ya finishing, lakini tayari kuna watu wanaishi ndani.
Ukubwa wa eneo: Meta za mraba 400.
Mahali ilipo:
* Takribani kilomita 1 kutoka barabara ya lami
* Kilomita 12 kutoka Ferry ya Kigamboni
* Kilomita 10 kutoka Daraja la Mwalimu Nyerere
Bei: Shilingi milioni 55
Ongeza kidogo hapo (mazungumzo yapo).
📞0769554221
#trendingvideo #istagram #tanzania🇹🇿 #realestatemarket #realestate















