Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mikwambe, Fanicity, Dar Es Salaam (400 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
9km
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA β KIGAMBONI, MIKWAMBE (FANICITY) π‘
Fursa nzuri ya kumiliki nyumba mpya kabisa katika eneo linalokua kwa kasi la Mikwambe β Fanicity, Kigamboni.
β
Vyumba 3
β
Master Bedroom 2
β
Sebule kubwa
β
Jiko la kisasa
β
Nyumba mpya kabisa
β
Umeme umeunganishwa
β
Decoration ya taa za kisasa imekamilika
β
Parking kubwa
β
Mazingira mazuri na mtaa tulivu
π Mahali ilipo:
β’ Takribani mita chache kutoka barabara ya lami
β’ Kilomita 9 kutoka Ferry
β’ Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
π Ukubwa wa kiwanja: Sqm 400
π° Bei: TZS 66,000,000 (Mazungumzo yapo kidogo.)
π Nyumba imejengwa kwa ubora wa hali ya juu na ipo katika eneo zuri linalofaa kwa makazi au uwekezaji.
π0769554221
#trendingvideo #realestateagent #istagram #trendingnow #trendingaudio















