Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mikwambe, Fanicity, Dar Es Salaam (400 sqm)

video thumbnail
Sh. 66,000,000

Maelezo

🏑 NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI, MIKWAMBE (FANICITY) 🏑

Fursa nzuri ya kumiliki nyumba mpya kabisa katika eneo linalokua kwa kasi la Mikwambe – Fanicity, Kigamboni.

βœ… Vyumba 3
βœ… Master Bedroom 2
βœ… Sebule kubwa
βœ… Jiko la kisasa
βœ… Nyumba mpya kabisa
βœ… Umeme umeunganishwa
βœ… Decoration ya taa za kisasa imekamilika
βœ… Parking kubwa
βœ… Mazingira mazuri na mtaa tulivu

πŸ“ Mahali ilipo:
β€’ Takribani mita chache kutoka barabara ya lami
β€’ Kilomita 9 kutoka Ferry
β€’ Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere

πŸ“ Ukubwa wa kiwanja: Sqm 400

πŸ’° Bei: TZS 66,000,000 (Mazungumzo yapo kidogo.)

🏠 Nyumba imejengwa kwa ubora wa hali ya juu na ipo katika eneo zuri linalofaa kwa makazi au uwekezaji.

πŸ“ž0769554221

#trendingvideo #realestateagent #istagram #trendingnow #trendingaudio

Matangazo mengine Mikwambe, Dar Es Salaam