Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mjimwema, Dar Es Salaam (400 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
9km
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA MPYA INAUZWA β KIGAMBONI MJIMWEMA
Unatafuta nyumba ya kisasa iliyo katika eneo zuri kwa makazi au biashara? Hii ni fursa yako!
β¨ Sifa za Nyumba:
β
Vyumba 3 vya kulala, vyote Master
β
Sebule kubwa
β
Dining
β
Jiko la kisasa
β
Ipo katika hatua ya finishing na utakabidhiwa ikiwa imekamilika kabisa
β
Eneo la kiwanja: SQM 400
β
Inagusa barabara ya mtaa β inafaa kwa makazi na biashara
β
Mazingira mazuri, salama na mtaa uliopangwa vizuri
π Umbali:
* Mita chache kutoka barabara ya lami
* Kilomita 9 kutoka Ferry
* Kilomita 8 kutoka Daraja la Nyerere
π° Bei: TZS Milioni 160
π€ Mazungumzo yapo.
π 0769554221
πService Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















