Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mjimwema, Dar Es Salaam (400 sqm)
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
9km
Maelezo
๐ก NYUMBA MPYA INAUZWA โ KIGAMBONI MJIMWEMA
Unatafuta nyumba ya kisasa iliyo katika eneo zuri kwa makazi au biashara? Hii ni fursa yako!
โจ Sifa za Nyumba:
โ
Vyumba 3 vya kulala, vyote Master
โ
Sebule kubwa
โ
Dining
โ
Jiko la kisasa
โ
Ipo katika hatua ya finishing na utakabidhiwa ikiwa imekamilika kabisa
โ
Eneo la kiwanja: SQM 400
โ
Inagusa barabara ya mtaa โ inafaa kwa makazi na biashara
โ
Mazingira mazuri, salama na mtaa uliopangwa vizuri
๐ Umbali:
* Mita chache kutoka barabara ya lami
* Kilomita 9 kutoka Ferry
* Kilomita 8 kutoka Daraja la Nyerere
๐ฐ Bei: TZS Milioni 160
๐ค Mazungumzo yapo.
๐ 0769554221
๐Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















