Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mkwambe Fani City, Kigamboni, Dar Es Salaam (400 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
3
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
๐ก NYUMBA INAUZWA KIGAMBONI MKWAMBE FANI CITY โ BEI YA KITONGA SANA!
Je, unatafuta nyumba ya kuhamia moja kwa moja au kufanya uwekezaji wenye faida? Hii ni fursa adhimu usiyoipaswa kuikosa.
โจ Sifa za Nyumba:
โ
Vyumba 3(viwili master)
โ
Sebule kubwa na ya kisasa
โ
Jikoni kizuri
โ
Fensi imara kuzunguka eneo lote
โ
Mazingira salama na tulivu kwa familia
โ
Ukubwa wa kiwanja: SQM 400
๐ Mahali: Mkwambe Fani City, Kigamboni
โ๏ธ Km 1 kutoka barabara ya lami
โ๏ธ Bodaboda ni Sh 1,500 tu kutoka barabara kuu hadi nyumbani
โ๏ธ Km 12 kutoka Ferry
โ๏ธ Km 10 kutoka Daraja la Nyerere
๐ฐ Bei: Milioni 47 tu
๐ค Mazungumzo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.
๐ Wasiliana Nasi: 0769 554 221
#trendingvideo #istagram #tanzania๐น๐ฟ #realestateforsale #trendingsongs














