Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Moshono Laizer, Arusha (1200 sqm)









Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
1200 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Huduma na Sifa
Maelezo
💥 NYUMBA YA KISASA INAUZWA - MOSHONO LAIZER 💥 O719969102
Inatafuta mmiliki mpya! Nyumba bora, ya kisasa na iliyopo kwenye eneo tulivu na linalofikika kirahisi sana.
📍 Mahali: Moshono Laizer (Mita 300 tu kutoka barabara ya lami)
📐 Ukubwa wa Kiwanja: SQM 1200 (Eneo kubwa na la kutosha)
Sifa za Nyumba:
🛏️ Vyumba 3 vya kulala (Vyumba 2 ni Master Bedrooms - vina choo ndani)
🏠 Ina Servant Quarter (Nyumba ya mtumishi/nje)
🛋️ Sebule kubwa na jiko la kisasa
✨ Imejengwa kwa viwango na muundo wa kisasa kabisa
💰 Bei: Tsh 170 Milioni (170,000,000 TZSh)✅️
📌 Angalizo: Nyumba kwa sasa ina mpangaji, lakini kuiona/kukagua inaruhusiwa wakati wowote kwa makubaliano.
Karibuni sana! Kwa mawasiliano na kuweka miadi ya kuiona,
piga simu/WhatsApp: 📞O719969102








