Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Pasua Zara, Kilimanjaro

Pasua, Moshi CBD, Kilimanjaro
9 hours ago
Sh. 60,000,000
Huduma na Sifa
Maelezo
๐Habari ndugu mteja wa Nyumba moshi , nakuletea Nyumba nzuri na ya kisasa ya familia INAUZWA , Nyumba Ina VYUMBA vitatu kimoja master sebule jiko la makabati dining public toilet , nje Kuna Nyumba ndogo yenye double room 1 na single rooms mbili , Nyumba ni nzuri na za kisasa zipo ndani ya ukuta na geti . Nyumba ipo Moshi , maeneo ya pasua Zara Kwa chini ambako Kuna mradi mpya wa Barabara kuwekewa lami .
๐Bei ya muuzaji ni mil60 tuu ..
๐karibu na uje ujionee Nyumba nzuri na za kisasa zinazouzwa .
๐video inaonyesha Nyumba iliyo ila una karibishwa kuja kuiona Nyumba .
๐๐0672701329๐๐
#100millionsviews
#10millionsviews
#dalalimoshi_nyumba
#viraltrending
#viralreels
