Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Salasala, Dar Es Salaam (636 sqm)

Maelezo
NYUMBA YAKUMAKIZIA UJENZI,TZS.128MIL, SALASALA.
Ipo umbali wa mita chache tu kutoka Barabara ya Lami.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 636.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Vyumba 3 (Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
______________ryt














