Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Bonyokwa, Dar Es Salaam (400 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
2
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA MPYA INAUZWA – TABATA BONYOKWA 🏡
Unatafuta nyumba ya kisasa, nzuri na yenye mazingira tulivu? Hii hapa fursa adimu!
✨ Sifa za Nyumba:
✔️ Vyumba 3 (kimoja Master)
✔️ Sebule kubwa na ya kisasa
✔️ Jiko
✔️ Choo cha wageni (Public)
✔️ Ipo ndani ya fence
✔️ Eneo: Square Meter 400
📍 Location:
Tabata Bonyokwa, kilometa 1 tu kutoka stendi (dakika 10)
💰 Bei: Milioni 90 (MAONGEZI YAPO)
💼 Service Charge: 30,000/=
📞 Wahi sasa!
+255688412890




















