Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam

Maelezo
MUHITAJI AKIJA ATAONA MBAKA NDANI.
NYUMBA INAUZWA β TABATA SEGEREA π‘
Nyumba nzuri inauzwa eneo la Tabata Segerea, ipo kwenye mazingira tulivu na yanafikika kwa urahisi.
π Maelezo ya nyumba kuu:
* Vyumba 3 (kimoja master)
* Sebule
* Dining
* Jiko
* Choo cha public
π‘ Nyumba ya nje (self-contained):
* Ina master na jiko
* Inapangishwa kwa TSH 200,000 kwa mwezi π°
π§ Maji ya DAWASCO pamoja na kisima yapo
π Takriban dakika 10 kutoka kituoni
βοΈ Barabara nzuri, panafika bila shida
βοΈ Huduma zote za kijamii zinapatikana karibu
πΈ Bei: TSH 90,000,000 (mazungumzo yapo)
πΌ Service charge: TSH 30,000
π Nunua ukae na familia yako au uwekeze kwa kupangisha na uendelee kuingiza kipato kila mwezi.















