Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Segerea Mwisho, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA YA KIFAHARI INAUZWA – TABATA SEGEREA MWISHO, DAR ES SALAAM
Miliki nyumba ya kisasa iliyo kwenye eneo kubwa, tulivu na lenye miundombinu mizuri.
✨ Sifa za Nyumba
✅ Vyumba 3 vya kulala (2 Master Bedrooms)
✅ Sebule kubwa
✅ Dining kubwa
✅ Jiko kubwa la kisasa
✅ Store
✅ Choo cha wageni (Public)
✅ Maji ya DAWASA na kisima
🌿 Nje ya Nyumba
✅ Kiwanja kikubwa – SQM 1,000
✅ Parking ya kutosha
✅ Garden
✅ Mabanda ya kupumzikia
✅ Boy’s Quarter
📍 Eneo zuri na salama, karibu na barabara ya lami, linafikika kwa urahisi.
💰 Bei: TSh 350,000,000 (Ina nafasi ya mazungumzo kwa mnunuzi mwenye nia ya kweli.)
📞 Muhitaji piga: +255 688 412 890
🎟️ Viewing Fee / Gharama ya Kuoneshwa: TSh 30,000/=
Dalali wako Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!















