Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tegeta Kwa-Ndevu, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YENYE VYUMBA 3,TSHS.70 MILIONI,TEGETA KWA-NDEVU.
Ipo mita chache toka Barabara ya Lami/Bagamoyo rd.
Gari inafika.
Ni YAKIZAMANI.
Unaweza Kuiboresha au kuweka Apartments za kisasa.
Wekeza hapa hutajutia.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_____________Htgt















