Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tegeta Masaiti, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA MPYA, VYUMBA 3, TZS.280 MILIONI,
TEGETA MASAITI.
Nyumba ya kisasa YAKUHAMIA.
Vyumba 3 ( Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Parking ni kubwa.
___________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
___________________ryt















