Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
2
Huduma na Sifa
Maelezo
Nyumba nzuri sana inapangishwa bei 300000 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 6, ina vyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo master bedroom, sebule, jiko na public toilet, umeme na maji unajitegemea, parking ipo, Location tabata kinyerezi dar es salaam Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641 Service charge 20000 Malipo ya dalali















