Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Ubungo, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 700,000

Aina

Nyumba

Vyumba

2

Maelezo

Nyumba mpya inapangishwa Ubungo Makoka.

- Vyumba viwili (kimoja master)
- Sebule
- Jiko lenye makabati
- Public toilet
- Umeme unajitegemea
- Maji unajitegemea
- Full A/C
- Water reserve tank
- Paving
- Parking
- Fence

Kodi 700,000/= miezi mitatu na kuendelea.

Service charge 20,000/=.
Udalali sawa na kodi ya mwezi mmoja.

Muhitaji piga 0688 412 890.