Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Goba Njia Nne, Dar Es Salaam (600 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
2
Bafu
2
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
800m — Madale Road
Huduma na Sifa
Maelezo
Nyumba Mbili Nzuri Sana Zinauzwa Mahali: Goba Njia Nne (Kanjibai) Bei: Milioni 190 (Mazungumzo) ☑️Eneo: Sqm600 ☑️Umiliki: Document Za Mauziano Serikali Ya Mtaa ☑️Sifa: Nyumba Kubwa Vyumba 2 Vyote Ni Master Sebule & Jiko Nyingine: Chumba Sebule Na Choo (Zipo Mbili) ☑️Uwekezaji: Makazi Na Biashara ☑️Umbali: Mita 800 Kutoka Lami(Madale Road) ☑️Mtaa Ni Wa Kishua Sana🔥🙌🏻 ☑️Huduma Zote Zinapatikana Gharama Ya Kuoneshwa Ni 50,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate. Ofisini: Sinza Palestina (Kwa Babu Sea) Call & Whatsapp: 0764486945 Call: 0682699988, 0622651649, 0650659988 Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏 #MasterRealEstate #MasterMijengo #DalaliMasterTz #WhereLuxuryMeetsLifestyle















