Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kibaha Kwa Mathias, Pwani

Huduma na Sifa
Maelezo
BOMA ZURI KARIBU NA BARABARA LINAUZWA KIBAHA KWA MATHIAS TSH MILIONI 8.5 TU.
==========
π»Lina vyumba viwili vya kulala, Chumba kimoja ni Master
π»Sebule kubwa
π» Public toilet
__________________
π Boma lipo karibu sana na stand haupandi boda
βοΈ Lipo kwenye barabara ya mtaa
π Boma Lina ukuta upande mmoja
π Ukubwa wa eneo sqm 500
_____________________
π° BEI MILIONI 8.5 tu.
==========
βοΈ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 20k tu
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994















