Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kibamba Luguruni, Dar Es Salaam (1800 sqm)


Maelezo
π₯ Eneo Zuri kubwa lenye Nyumba Ndani Linauzwa KIBAMBA LUGURUNI
#Ukubwa wa Eneo ni SQM 1,800/=
#Hatimiliki Ipo kwenye mchakato muda wowote inakuwa tayari
π Bei ni 185,000,000/= (milioni 185)
β
Eneo Lina Nyumba Nzuri ya kuhamia,na ni nyumba ya Vyumba 2 vya Kulala (vyote Master), sebule, Store na Jiko
#Eneo linafaa kwa kujenga nyumba ya kuishi ama Apartments za Kupangisha
π Eneo Lipi Karibu na Ofisi za Manispaa ya Ubungo na Chuo cha Saint Joseph. Hivyo wapangaji ni uhakika
#Umbali wa dakika 12 kwa miguu kutoka Morogoro Road, gari inafika vizuri hadi Site
______
#Kupelekwa Kuona 40,000/=
Kwa maelezo zaidi piga :-
0712528820
0685221354
Mr.















