Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kibugumo, Mji Mwema, Dar Es Salaam (800 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
2
Ukubwa
800 SQM
Barabara ya Karibu
500m
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA β KIGAMBONI MJI MWEMA (KIBUGUMO), DAR ES SALAAM
Unatafuta nyumba nzuri yenye eneo kubwa kwa ajili ya kuishi au uwekezaji? Hii ni fursa yako!
π Mahali: Kigamboni Mji Mwema β Kibugumo
π Ukubwa wa kiwanja: Sqm 800
π° Bei: TSh Milioni 88 (Mazungumzo kidogo yapo)
Sifa za nyumba:
π Vyumba 2 vya kulala
β¨ Imejengwa kwa kiwango cha kisasa (standard)
β
Dari za Gypsum
β
Madirisha ya Aluminium
β‘ Umeme umefika
π§ Maji yapo pamoja na kisima cha maji
πͺ Ina geti tayari
π£οΈ Inagusa barabara ya mtaa
π Umbali wa mita 500 tu kutoka barabara ya lami.
Faida ya ziada:
π Eneo ni kubwa kiasi kwamba unaweza kujenga nyumba nyingine kubwa au hata ghorofa ya hadi vyumba sita kwa ajili ya uwekezaji wa kupangisha.
π Wasiliana nasi leo kupanga kutembelea nyumba hii.
πΌ Service Charge: TSh 30,000
πΈ Instagram: dalali_kigamboni_plots_forsale
#Kigamboni #MjiMwema #Kibugumo #NyumbaInauzwa #DalaliKigamboni DalaliDarEsSalaam DalaliNyumbaViwanja RealEstateApartment CreatorSearchInsights DarEsSalaam Investment















