Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Mbezi Malamba Mawili, Dar Es Salaam


Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA β MBEZI MALAMBA MAWILI π‘
Unatafuta nyumba nzuri ya kuishi au kufanya uwekezaji? Hii ni fursa yako!
π Eneo: Mbezi Malamba Mawili
π£οΈ Takriban kilomita 1 kutoka barabara ya lami
π Gari linafika hadi nyumbani bila shida.
Sifa za nyumba:
β
Vyumba 2 (kimoja ni Master)
β
Sebule
β
Jiko
β
Choo cha Public
β
Maji na Umeme vipo
π Inafaa kwa makazi au uwekezaji wa kupangisha.
π° Bei: TSh 42,000,000
π€ Udalali: 10%
π΅ Service Charge: TSh 50,000/=
π Wasiliana nasi:
Karibu tajiri, tufanye biashara! π‘β¨















