Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
π’ NYUMBA ZA BIASHARA ZINAUZWA β TABATA SEGEREA, DAR ES SALAAM π’
π° Bei: Milioni 160
π Location: Tabata Segerea
Fursa nzuri kwa mwekezaji anayehitaji mali inayoingiza kipato mara moja!
β
Nyumba 2 zipo ndani ya compound moja.
β
Kila nyumba ina:
* Vyumba 2 vya kulala (1 Master)
* Sebule
* Jiko
* Choo cha Public
π° Maji ya DAWASA yanapatikana
β‘ Kila nyumba ina mita yake ya umeme
π§ Reserve tank la maji lipo
π Parking ya kutosha
πͺ Geti kubwa na mazingira salama
π Zipo umbali wa dakika chache kutoka barabara ya lami, eneo linalokua kwa kasi na linalofaa kwa uwekezaji.
π΅ Kwa sasa nyumba zote zimepangishwa na zinaingiza TSh 500,000 kwa mwezi kwa kila nyumba, hivyo unaweza kununua na kuendelea kukusanya kodi mara moja.
π― Inafaa kwa:
βοΈ Uwekezaji wa nyumba za kupangisha
βοΈ Kuongeza kipato cha kila mwezi
βοΈ Uwekezaji wa muda mrefu katika eneo lenye ukuaji mkubwa
π Nyaraka zipo tayari.
π Piga: +255 688 412 890
π΅ Gharama ya Huduma: 30,000/=
Karibu Tajiri!
Wahi Sasa Offer Kabambe!
Miliki Kesho Yako Leo!!! π‘β¨















