Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Tabata Segerea Viwanja Vya Benki, Dar Es Salaam (800 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
2
Ukubwa
800 SQM
Barabara ya Karibu
5km
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA β TABATA SEGEREA VIWANJA VYA BENKI π‘
Nyumba nzuri ambayo bado haijakamilika inauzwa maeneo ya Tabata Segerea Viwanja vya Benki. Fursa nzuri sana kwa makazi binafsi au uwekezaji wa kupangisha. β¨
π Location nzuri sana
π£ Dakika 5 tu kutoka barabara ya lami
π Neighborhood tulivu na iliyojengeka vizuri
π Parking space ya kutosha
β
Panafikika bila shida kipindi chote
πΉ Ina:
βοΈ Vyumba 2
βοΈ Chumba 1 Master
βοΈ Sebule
βοΈ Dining
βοΈ Jiko
βοΈ Public Toilet
π Ukubwa wa kiwanja: SQM 800
π‘ Eneo kubwa linalofaa kuongeza nyumba nyingine, garden au miradi mingine ya uwekezaji.
π° Bei: Milioni 90 tu
π Service charge / Gharama ya huduma: 50,000/=
π Muhitaji piga: +255688412890
Karibu sana tajiri, ukamilishe kwa style yako mwenyewe na uanze kuingiza kipato. π















