Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







Maelezo
πΉπΏ #NEW APARTMENT INAPANGISHWA#
βββββ
πEneo: Kimara Korogwe
π Umbali: Dakika 3 tu kwa mguu kutoka Stand ya Mwendo Kasi, jirani kabisa na barabara.
π‘#SIFA ZAKE
πΉ Chumba kimoja Master kikubwa
πΉ Sebule kubwa
πΉ Jiko kubwa nzuri sana
πΉ Umeme & Maji β Inajitegemea
πΉ Maji yanapatikana ndani Reserve Tank Yako Dawasa 24/7
πΉ Fensi hamna & Packing kubwa sana
π Nyumba ni MPYA, iko tayari kuhamia kuanzia tarehe 21/12/2025
π Kuona nyumba na kufanya malipo kunaruhusiwa
#GHARAMA
π² Kodi: Tsh 250,000/= Γ 6 (miezi sita)
π² Malipo ya Dalali: Tsh 250,000/=
π² Service Charge: Tsh 20,000/=
π€« Nakuibia siri mteja β maongezi kidogo yapo .
#Piga_simuπ
O740747383
#π . &Whatsapp
usπ
Karibu Sana Mtejaπ















