Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inauzwa Kigamboni Mji Mwema, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🏢 APARTMENT 3 ZINAUZWA KWA BEI YA KUTUPA – KIGAMBONI MJI MWEMA, DAR ES SALAAM 🔥
Fursa adhimu kwa wawekezaji! Nunua apartment zenye mapato ya uhakika kwa bei ambayo ni ngumu kuipata.
✅ Bei: TSh 53,000,000 tu (Mazungumzo yapo)
✅ Zipo Kigamboni, Mji Mwema
✅ Karibu sana na barabara ya lami
✅ Eneo salama na linalokua kwa kasi
Sifa za nyumba:
🏠 Apartment 3
🛏️ Kila apartment ina:
• Chumba 1 cha kulala
• Sebule
• Jiko
• Choo na bafu
💰 Kila apartment inaweza kupangishwa kwa kati ya TSh 180,000 – 230,000 kwa mwezi, hivyo ni fursa nzuri kwa uwekezaji wa nyumba za kupangisha.
📞 Piga simu leo kupanga kutembelea eneo hili kabla halijauzwa!
Service Charge: TSh 30,000
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni















